Copy & Paste Lyrics – Ibraah

Lyrics of Copy & Paste by Ibraah
Oye wee
Aauugh
City boy tz what’s up
Wamilemre
Gilly twende
Shout out to my crew
Wamilembe
Tuko gang gang
Kandegang gako
Wamilembe
Oya wee oya
Beautiful girls give me some
Shout out to my baby
Oye we, picha linaanza kama ndoto
Najiona kama ndio nimezaliwa
Nilichogundua dunia ni utoto
Nilipodundua mi maiti mtarajiwa
Dunia niatisha
Wakrti we unapambana kusali
Kuna wanga wanakudmber ufeli
Riziki ndio kisa
Wanakabana wananyongana
Waambie kama life boti haachwi mtu feri
Wanangu mtaji pumzi si unapumua
Tunapumua mwanetu
Struggle za life we siunajua
Tunajizua mwanetu
Wanangu wa temeke
Waliimba kamur ah
Life si unajua unajua
Ni kukamua mwanetu
Life ni ku run run
Shida za kitaani taani
Kwani asozijua ni nani
Tunazijur mwanetu
Iwe nyeus ama kijani
Kwenye riziki hakuna utani
Kama gheto tunafua
Ni kukamua mwanetu
Oyaa
Ni ku copy na ku past
hafla maisha yamekuwa mepesi
Kwa mchizi wa bongo
Ana copy ana paste
Oya we oya oya oya oya
Oya wana ni copy na ku past
hafla maisha yamekuwa mepesi
Kwa mchizi wa bongo
Ana copy ana paste
Oya we oya oya oya oya
Gilbert mchizi wa tandale
Alikuwa anauza mihogo koko
Skuizi anaishi madale
Amejipata
Fata ndoto zako usifate za wale
Watakupoteza
Ngumi ya kichwa chapa ikalale
Ni utata
Pakanja pakanja
Sister duu kala modo
Brother men kapaka wanja
Vunga ukitukuta viwanja
Jicho jekunduu
Yebaaa
Oye we, japo hatujakula ganja
Wanangu mtaji pumzi si unapumur
Tunaumua mwanetu
Struggle za life we siunajua
Tunajizua mwanetu
Wanangu wa temeke
Waliimba kamur ah
Life si unajua unajua
Ni kukamua mwanetu
Life ni ku run run
Shida za kitaani taani
Kwani asozijua ni nani
Tunazijur mwanetu
Iwe nyeus ama kijani
Kwenye riziki hakuna utani
Kama gheto tunafua
Ni kukamua mwanetu
Oyaa
Ni ku copy na ku past
hafla maisha yamekuwa mepesi
Kwa mchizi wa bongo
Ana copy ana paste
Oya we oya oya oya oya
Oyaa wana ni copy na ku past
hafla maisha yamekuwa mepesi
Kwa mchizi wa bongo
Ana copy ana paste
Oya we oya oya oya oya
Oyaa wana ni copy na ku past
hafla maisha yamekuwa mepesi
Kwa mchizi wa bongo
Ana copy ana paste
Oya we oya oya oya oya
Copy & Paste Song Credits & Production Details
| Song Title | Copy & Paste |
| Singer(s) | Ibraah |
| Musician(s) | [?] |
| Lyricist(s) | Ibraah |
| Language | English |
Frequently Asked Questions About Copy & Paste Song
Who is the singer of the song ‘Copy & Paste’?
The song ‘Copy & Paste’ is sung by Ibraah.
Who wrote the song ‘Copy & Paste’ by Ibraah?
The song ‘Copy & Paste’ by Ibraah is written by Ibraah.
Who produced the music for the song ‘Copy & Paste’?
Music of the song ‘Copy & Paste’ is produced by [?].
Disclaimer
“This concludes the lyrics of Copy & Paste” by Ibraah. The lyrics shown here are intended purely for educational use. We honor the work of artists and stand against copyright infringement. If this song resonates with you, please show your support by engaging with the original creators.
If you find any errors in it, please feel free to submit the correct version via the Contact Us section.